Sunday, March 9, 2014

Wenger kucheza mchezo wake wa 1000 na Jose Mourinho English Premium League

Wenger v Mourinho

Kati ya michezo ya ligi kuu ya Uingereza isiyopendwa na kocha Arsene Wenger ni dhidi ya Chelsea ya Mourinho. Wakiwa mahasimu wakubwa, Bosi Arsene Wenger anahofu huenda Morinho akaifanya siku yake ikajawa na majonzi. Siku za hivi karibuni Morinho amaemwelezea Wenger kama kocha mwenye mafanikio ya kufeli zaidi katika ligi kuu ya England. Morinho amesema kwamba Wenger anapoteza muda kwa kuiga mchezo wa Barcelona usiowezekana katika mazingira ya Uingereza. Wenger atafikisha mchezo wa 1000 akiwa na Arsenal katika mchezo dhidi ya Chelsea. Kwa sasa Arsenal iko nafasi ya tatu nyuma ya Chesea na Liverpool. Jana jumamosi ilifanikiwa kuelekea nusu fainali ya kombe la FA baada ya kuibwaga Everton mabao 4 - 1.

Saturday, March 8, 2014

Arsenal yaelekea Wembley

Mchezaji wa Arsenal Mikel Arteta

Magoli manne yametosha kuipeleka Arsenal nusu fainali ya FA itakayochezewa katika uwanja wa Wembley. Ikiwa inacheza na Everton mchezo ulionekana kuwa mgumu kwa Arsenal katika kipindi cha kwanza, japo mambo yalibadilika kipindi cha pili baada ya Rosicky na Giroud  kuchukua nafasi za Chamberlain na Sanogo. Arsenal ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa Ozil kabla ya Lukaku kusawazisha katika kipindi cha kwanza. Dakika ya 70 Arsenal ilipata bao la pili kupitia kwa Arteta kwa mkwaju wa Penalt.
Dakika 10 za mwisho Giroud alipachika wavuni magoli 2 na mechi ikaisha ubao ukisomeka 4 - 1.

Kwa habari zaidi tembelea:-

Thursday, March 6, 2014

Jack Wilshere nje wiki sita

Jack Wilshere
Mchezaji wa kiungo cha kati wa Arsenal Jack Wilshere atakosa kucheza wiki sita baada ya kupata jeraha la mguu katika mechi aliyochezea England hapo juzi iliposhinda Denmark bao moja kwa bila. Kwa sababu hiyo atakosa mchuano wa FA wa robo fainali hapo kesho dhidi ya Everton na Jumanne ijayo atatazama tu timu yake ikicheza na Bayern Munich katika kombe la kilabu bingwa barani ulaya.
Si hayo tu atakosa mechi nne muhimu za ligii ya England kati ya Chelsea, Manchester City, Swansea na Tottenham ambazo zinacheza mwezi huu.

Wednesday, March 5, 2014

Carles Puyol Kutimka Barcelona

Carles Puyol
Nahodha wa klabu ya Barcelona Carles Puyol ametangaza atawahama mabingwa hao wa Hispania mwishoni mwa msimu huu.
Puyol mwenye umri wa miaka 35 aliibukia kutoka vikosi vya vijana wa Barcelona na kujiunga na kikosi kikuu mwaka 1999.

Monday, March 3, 2014

Mkenya Lupita Nyong'o anyakua tuzo ya Oscar

Lupita Nyong'o

Kama ilivyokuwa imetarajiwa na wengi mwigizaji mashuhuri kutoka Kenya Lupita Nyong'o amenyakuwa tuzo la Oscar la mwigizaji msaidizi wa kike kwa jukumu lake la kuelezea masaibu ya Patseh katika filamu ya utumwa ya ''12 Years A Slave.''
Baada ya kupokea tuzo hilo Lupita amesema " Haikwepi mawazo yangu kwamba hata dakika moja ya furaha katika maisha yangu ni shukran na maumivu makubwa kwa mtu mwingine.''
Kisha Lupita akaongeza kusema, " Na iwe ukumbusho kwangu na kila mtoto kwamba kokote unakotoka, ndoto zako ni halisi.''
Mwigizaji Jared Leto alinyakuwa tuzo la mwigizaji bora msaidizi wa kiume kwa jukumu lake la kuelezea maisha ya mwanamke aliye na jinsia mbili aliyekuwa na akiishi na virusi vya HIV katika filamu Dallas Buyers Club.
Alilazimika kupunguza uzani kwa kipindi kifupi ili kuigiza.
Sherehe ya kutolewa kwa tuzo hizo zimefanyika mjini Los Angeles nchini Marekani.

Tuesday, February 25, 2014

Mourinho:Ni fedheha kwa mtu kurekodi mazungumzo binafsi

Mourihno

Kocha wa timu ya Chelsea ya England, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo yake kuhusu wachezaji wa timu hiyo.
Mourinho amesema lilikuwa jambo la aibu kuona kwamba mazungumzo binafsi kuhusu wachezaji wa timu yake, yanawekwa hadharani na kampuni moja ya televisheni nchini Ufaransa.
Mourinho amesema alikuwa anatania alipokuwa akilalamika kuwa Chelsea inakosa wachezaji wa nafasi ya ushambuliaji na alimtania Eto'o kuhusu umri wake.
"Yalikuwa mazungumzo ya utani na mtu ambaye hahusiki na masuala ya ulimwengu wa soka," amesema Mourinho.
"Ni fedheha kwa mtu kurekodi mazungumzo binafsi."

Saturday, February 22, 2014

Wenger "Ozil ajutia kukosa penalti"

Mesut Ozil

Kocha wa Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger, amesema kuwa mshambulizi Mesut Ozil angali anajutia kukosa kufunga penalti dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi kuu barani ulaya Bayern Munich jumanne iiyopita.
Ozil, mwenye umri wa miaka 25,alilazimika kuwaomba radhi mashabiki wa Arsenal kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook.
Ozil,alisajiliwa mapema msimu huu kwa kitita kikubwa zaidi na kocha Wenger.
Arsenal, inashikilia nafasi ya pili katika ligi kuu ya premia ya Uingereza ikiwa na jumla ya alama 56 moja nyuma ya vinara Chelsea .
Arsenal inaikaribisha Sunderland jumamosi katika uwanja wa Emirati .

Sunday, February 9, 2014

Olympic Games in Sochi
The official 16-day competition at the Sochi Winter Olympics begins Saturday when gold medals in five sports will be contested.

The 
The Games in Russia's Black Sea resort city kicked off Friday with a glitzy opening ceremony featuring Russian music, ballet stars, acrobats and cosmonauts.

Brand new Fisht Olympic Stadium, which holds 40,000 people, hosted the ceremony. Organizers hope the event will paint a shining image of Russia.

Athletes from the more than 80 nations competing in Sochi filled the 

stadium. The lighting of the Olympic torch and fireworks lit the night sky to culminate the event.

More than 40 world leaders attended the ceremony, but U.S. President Barack Obama and some European Union leaders were absent. Russia has faced criticism of its law banning the spread of so-called "gay propaganda" to minors.

Security is tight in and around the Olympic Village, with authorities on guard for possible terrorist attacks.

Security also was bolstered around the Kremlin in anticipation of possible Olympics-related protests.

The United States has issued a travel alert for all citizens heading to Russia, urging them to remain attentive in regards to personal security at all times.

It also alerts Americans to be aware of the Russian law banning gay propaganda, calling it vague.

International Olympic Committee President Thomas Bach said it is unfair to single out the Sochi Games as facing a particular security threat. He said terror threats were made at other Olympics, including Sydney in 2000, Athens in 2004, and Salt Lake City in 2002.  

Bach also said preparations for the Games are going "pretty smoothly," but that the first few days of the Games usually have "a small hiccup [problem] here or there."

Russian authorities have spent an estimated $2 billion to shore up security in advance of the Sochi Olympics. Islamic militants have threatened attacks, and analysts have singled out train stations and other areas where civilians congregate as possible targets.


Wenger slipped and fall at Liverpool Lime Street Station after the defeat

Wenge
Arsenal's title challenge may not have fell flat on its face just yet after Manchester City's slight slip-up at Norwich, but their manager did take a tumble on his way back from the 5-1 defeat at Liverpool on Saturday.Arsene Wenger, so often the cool, calm and collected Frenchman, slipped on his way into Liverpool Lime Street Station after the loss.
Wenger

Wenger

Wenger
It was just one of those days for Wenger, who saw his side go 4-0 down within 20 minutes at Anfield.
They improved, however, and ended up drawing the second period 1-1, but with a tough run-in over the next month, plenty more slip-ups are inevitable.
Arsenal's next three games are Manchester United, Liverpool again in the FA Cup fifth round, and Bayern Munich, all at the Emirates Stadium.
Wenger knows there needs to be a big improvement for Wednesday's match against United.'What is important is that we respond to that result, especially respond with a different performance because our performance overall was poor,' Wenger said.
'On the concentration level, on pace, on defensive stability, it was very poor and we always looked vulnerable.
'If you concede two early goals from set-pieces then you are in a position where you always have to come out.
'I just think the whole team have failed to turn up with the right performance. We know that you need to be better focused at this kind of level.'
'Overall our performance was just not good enough and I include myself in that performance.
'For me it is maybe better I don't talk too much, go home and respond better on Wednesday night.
'Congratulations to Liverpool. They were the best team today and we were very poor - only our fans were good for 90 minutes.'
 

Wednesday, February 5, 2014

Manchesyer United:Adnan Zanuzaj atimiza miaka 19 kwa tuzo


Adinan Zanuzaj

Kiungo wa Manchester United jana amesherekea kufikisha miaka 19 kwa aina yake.
Ilikuwa ni siku njema kwake kusherekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na kutwaa tuzo ya mashabiki  ya mchezaji bora wa mwezi.
Siku ya kuzaliwa na Adinan Zanuzaj ni sawa na nyota wengine kama:- Cristiano Ronaldo,Neymer na Carlos Teves.

Adinan Zanuzaj

http://mchambuzihotnewz.blogspot.com/