Wednesday, February 5, 2014

Manchesyer United:Adnan Zanuzaj atimiza miaka 19 kwa tuzo


Adinan Zanuzaj

Kiungo wa Manchester United jana amesherekea kufikisha miaka 19 kwa aina yake.
Ilikuwa ni siku njema kwake kusherekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na kutwaa tuzo ya mashabiki  ya mchezaji bora wa mwezi.
Siku ya kuzaliwa na Adinan Zanuzaj ni sawa na nyota wengine kama:- Cristiano Ronaldo,Neymer na Carlos Teves.

Adinan Zanuzaj

http://mchambuzihotnewz.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment